Posts

Showing posts from January, 2026

28 January 2026

Image
 Pichani ni boss wangu ofisin mr gaston A gaston huyo mwenye shati nyeupe  nimejifunza mengi kutoka kwake na nategemea mengi pia kutoka kwake ni mtu ambae hana ile hali ya kukunja na mtu ambae anataka wote muendelee nyote kimaisha namshukru Mungu kwa kunikutanisha na bwana gaston A gaston

Tarehe 27 jan 2026

Image
 Baada ya kikao kizito kinachohusiana na wild life policy wenzetu kutoka chuo cha wild animals walikuja kujifunza ofisi za nemc 

Mwanza mbugani

Image
  Nikapata picha kidogo sehem niliyopanga na duka niaachiwa kabs niangalie kijana mwaminifu kabs

Mwaka 2012

Image
 Hii ilikuwa mwaka 2012 mwenye shati ya blue ni mfaume sadick yumba(mtoto wa mamdogo) afu mimi nimevaa yebo zangu na shati nyeupe hii ilikuwa likizo ya mwezi wa 6 kipnd niko shule ya msingi

Nyumbani kasulu kigoma tarehe 6/1/2026

Image
 Hapa ni mwaka 2026 kwenye sikukuu ya mwaka mpya nilifanikiwa kwenda kuwaona wazazi huko wilayan kasulu kigoma kutoka kushoto kwangu ni joram james(baba mzazi) na vaileth nchimbili(mama mzazi) tulifurahi sote kukutana

TAREHE 22 JANUARY BAADA YA KIKAO CHA TAC

Image
  Hapa niko kwenye pozi zito baada ya kikao na wawekezaji + chai nzito huku camera man akiwa ni ikoba robert mwenyew

Nemc mwanza

Image
 Kutoka kulia mwenye shati nyeupe ni ikoba robert kushoto kwake  pearson zephania na kijana aliyeko karibu na camera ni andrea kongwa wote tukiwa field jijini mwanza

Mwanza ofisi ya nemc jengo la pssf

Image
 Hapo nikiwa kwenye mafunzo ya chuo kwenye ofisi za mazingira mwanza kupitia baraza la uhifadhi wa mazingira(nemc)

MWANZA JANUARY 21, 2026

Image
  Asante Mungu kwa kuniwezesha kuanzisha blog yangu binafsi ya himidi joram na asante kwa kunilinda jumatano nzima ya leo