Kutoka kulia mwenye shati nyeupe ni ikoba robert kushoto kwake pearson zephania na kijana aliyeko karibu na camera ni andrea kongwa wote tukiwa field jijini mwanza
Hii ilikuwa mwaka 2012 mwenye shati ya blue ni mfaume sadick yumba(mtoto wa mamdogo) afu mimi nimevaa yebo zangu na shati nyeupe hii ilikuwa likizo ya mwezi wa 6 kipnd niko shule ya msingi
Comments
Post a Comment